Social Icons

.

Monday, 24 September 2012

Kilewo Aivunja ngome ya Profesa Jumanne Maghebe Maeneo ya Usangi Mwanga Kilimanjaro

Kamanda Kilewo Akitoa maelekezo ya Kuanza kuwapokea Wanaccm 
Waliyoamua kujivua Gamba na Kuvaa Gwanda Hali ilikuwa Nzuri
Kamanda Kilewo Akitekeleza Jukumu la Kuingiza wanachama wapya
Kamanda Kilewo Akimkabize Mzee Kadi mpya ya Chadema baada ya mzee
Huyo kurudisha kadi ya Tanu(ccm) Maeneo ya Usangi.




No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...