Haya ndiyo tuliyoadhimia kama kamati kuu ya chama, kikao kilichodumu kwa siku mbili mfululizo hapa jijini Dar es salaam,
1.KIKAO cha kamati kuu kilikuwa cha
kawaida ,hakuna jambo la dharula
2.Mchakato wa katiba mpya usiathiri
mabadiliko ya sheria nyingine kama
mabadiliko ya sheria ya uchaguzi
3.Mwaka 2013,ni mwaka wa nguvu ya
umma,hakuna kubembelazana na
serikali rais kikwete hajajibu madai ya
yetu kwa hiyo tutamshinikiza.
4.sehemu ambazo CCM wanaogopa kuitisha
uchaguzi,tutawalazimishwa kuitisha
uchaguzi kata za arusha
mjini,sengerema,nk.ziko 15
5.Uongozi wa KARATU wa CHADEMA
Tumeusimamishwa kwa muda mpaka chama
kitakapokamilisha uchunguzi wake
huko wanasheria Marando na Prof Safari
watachunguza kashfa za mtu mmojammoja
huko karatu, kumekuwa na kashfa kwenye
miradi ya maji na ardhi.
6.Hatua za kisheria kufuatia matukio ya
uchaguzi wa ilemela mwanza,baada ya
madiwani 2 kufukuzwa uanachama
zitaendelee kuchukuliwa,pia hatua za kisiasa
zianzishwe kudai uwajibikaji wa
halmashauri ya jiji la mwanza ili haki
itendeke.
7.kamati kuu imetambua kutapatapa kwa
CCM juu ya sera zake za katiba mpya,elimu
bure na bei ndogo za vifaa vya ujenzi CCM
haiaminiki,kwa hiyo CHADEMA tutaendelee
kuunganisha umma ili CCM iondolewe 2014
na 2015
8 M4C itaendelee kwa kasi mapema mwaka
2013,sekretariati itatangaza ratiba januari.
9.juu ya hoja binafsi za wabunge wetu zito na mdee(kuhusu uporaji wa
ardhi na mabilioni ya Uswis),pamoja na
hoja ya Tundu Lisu juu ya uteuzi holela wa
rais wa majaji,kamati kuu imependekeza
maazimio ya bunge yafuatwe na baadaye
kidogo kama hairidhiki kamati kuu
itaelekeza nini kifanyike kwa hatua za ziada
10.Kamati kuu imesikitika kuwa rais
amepuuza barua ya yetu juu ya
kuunda tume ya kimahakama kuhusu
mauwaji mbalimbali nchini.hivyo M4C
itatumika mwaka 2013 kumshinikiza rais
kujibu barua hiyo na kutekeleza yale barua
inaelekeza yafanyike
Kamati kuu imesisitiza kuwa mwaka 2013
ni mwaka wa nguvu ya umma,na hakuna
tena kubembelezana na serikali.
Sisi kama chama tunatambua mchango wenu sana, kwa pamoja tutapata mabadiliko tuyatakayo
Kiongozi wenu
Freeman Aikaeli Mbowe (Mb)
mabadiliko ya sheria nyingine kama
mabadiliko ya sheria ya uchaguzi
3.Mwaka 2013,ni mwaka wa nguvu ya
umma,hakuna kubembelazana na
serikali rais kikwete hajajibu madai ya
yetu kwa hiyo tutamshinikiza.
4.sehemu ambazo CCM wanaogopa kuitisha
uchaguzi,tutawalazimishwa kuitisha
uchaguzi kata za arusha
mjini,sengerema,nk.ziko 15
5.Uongozi wa KARATU wa CHADEMA
Tumeusimamishwa kwa muda mpaka chama
kitakapokamilisha uchunguzi wake
huko wanasheria Marando na Prof Safari
watachunguza kashfa za mtu mmojammoja
huko karatu, kumekuwa na kashfa kwenye
miradi ya maji na ardhi.
6.Hatua za kisheria kufuatia matukio ya
uchaguzi wa ilemela mwanza,baada ya
madiwani 2 kufukuzwa uanachama
zitaendelee kuchukuliwa,pia hatua za kisiasa
zianzishwe kudai uwajibikaji wa
halmashauri ya jiji la mwanza ili haki
itendeke.
7.kamati kuu imetambua kutapatapa kwa
CCM juu ya sera zake za katiba mpya,elimu
bure na bei ndogo za vifaa vya ujenzi CCM
haiaminiki,kwa hiyo CHADEMA tutaendelee
kuunganisha umma ili CCM iondolewe 2014
na 2015
8 M4C itaendelee kwa kasi mapema mwaka
2013,sekretariati itatangaza ratiba januari.
9.juu ya hoja binafsi za wabunge wetu zito na mdee(kuhusu uporaji wa
ardhi na mabilioni ya Uswis),pamoja na
hoja ya Tundu Lisu juu ya uteuzi holela wa
rais wa majaji,kamati kuu imependekeza
maazimio ya bunge yafuatwe na baadaye
kidogo kama hairidhiki kamati kuu
itaelekeza nini kifanyike kwa hatua za ziada
10.Kamati kuu imesikitika kuwa rais
amepuuza barua ya yetu juu ya
kuunda tume ya kimahakama kuhusu
mauwaji mbalimbali nchini.hivyo M4C
itatumika mwaka 2013 kumshinikiza rais
kujibu barua hiyo na kutekeleza yale barua
inaelekeza yafanyike
Kamati kuu imesisitiza kuwa mwaka 2013
ni mwaka wa nguvu ya umma,na hakuna
tena kubembelezana na serikali.
Sisi kama chama tunatambua mchango wenu sana, kwa pamoja tutapata mabadiliko tuyatakayo
Kiongozi wenu
Freeman Aikaeli Mbowe (Mb)

No comments:
Post a Comment