Social Icons

.

Tuesday, 5 February 2013

Dr. Slaa> Apokea wazee wa jumuiya ya Afrika mashariki na Kujiunga na Chadema Rasmi

Dr. Slaa
Katibu mkuu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amewapokea wazee waliyotelekezwa na serikali ya ccm kwa kipindi chote walichokuwa wakidai madai yao kutokana na jasho lao, Katibu mkuu huyo alisema uonevu huu unaenda kufikia mwisho, ila ukimya wa Watanzania ndiyo Umelifanya Taifa kuwa hivi.. Ila msife moyo tuendeleeni kushirikiana kuzidai haki zenu tutazipata tu.

Wazee wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wajiunga na CHADEMA . Hapa wawakilishi wa Chama cha Wazee hao wakikabidhiwa kadi na Katibu Mkuu wa Chadema Dr. Willbrod Slaa mapema leo Makao Makuu ya CHADEMA Kinondoni.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...