RIPOTI YA SIRI JUU YA ZITTO KABWE
CHADEMA
CHADEMA
UCHUNGUZI WA MWENENDO WA KISIASA WA ZITTO Z. KABWE NDANI NA NJE YA CHADEMA.
UTANGULIZI:Tangu mwaka 2008 mwenendo wa kisiasa wa Zitto Zuber Kabwe ulianza kutiliwa shaka na wanachama wa CHADEMA ndani na nje ya chama, Hili lilipelekea kuibuka maneno ya chini kwa chini kuwa anakisaliti chama.
Hilo liliilazimu timu ya kijasusi ya chama kuanza kufuatilia nyendo zake kwa ukaribu zaidi usiku na mchana ili kujiridhisha pasipo kuacha chembe ya mashaka. Ifahamike kuwa chama kina idara ya ulinzi na usalama wa chama na viongozi wake yenye uwezo wa kufuatilia nyendo za majasusi wa nje na viongozi na wanachama wake popote walipo kwa masaa 24. Baada ya kujiridhisha kuwa mwenendo wake ni wa mashaka, bila kusita timu ya ujasusi ilianza kazi rasmi ya ujasusi dhidi ya nyendo zote za Zitto Zuberi Kabwe
Hilo liliilazimu timu ya kijasusi ya chama kuanza kufuatilia nyendo zake kwa ukaribu zaidi usiku na mchana ili kujiridhisha pasipo kuacha chembe ya mashaka. Ifahamike kuwa chama kina idara ya ulinzi na usalama wa chama na viongozi wake yenye uwezo wa kufuatilia nyendo za majasusi wa nje na viongozi na wanachama wake popote walipo kwa masaa 24. Baada ya kujiridhisha kuwa mwenendo wake ni wa mashaka, bila kusita timu ya ujasusi ilianza kazi rasmi ya ujasusi dhidi ya nyendo zote za Zitto Zuberi Kabwe
MAMBO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI DHIDI YA ZITTO KABWE.
Kumfuatilia yeye binafsi nyendo zake.
Kufuatilia mawasiliano yake ya simu.
Kufuatilia mawasiliano yake ya barua pepe.
Kufuatilia pato lake nje ya kazi zake halali za kibunge.
Kufuatilia mawasiliano yake ya simu.
Kufuatilia mawasiliano yake ya barua pepe.
Kufuatilia pato lake nje ya kazi zake halali za kibunge.
SEHEMU YA KWANZA 2008
Chombo chetu cha ujasusi tulichokipandikiza kwa siri katika nyendo zote za Zitto Kabwe na ndani ya vikao vya mwanzo kabisa vya Zitto na viongozi serikalini, nahata vile vikao muhimu vya idara ya ujasusi ya chama cha mapinduzi (ccm), kinatupa fursa ya kuweka msingi wa kuimarisha chama cha CHADEMA na kutenda haki kidemokrasia kwa maslahi ya chama na Taifa kwa ujumla:
Mnamo Jumatatu ya tarehe 16/6/2008 saa 09:46 asubuhi, Mh Zitto Kabwe kupitia simu yake ya kiganjani namba +255754787550 alipokea simu kutoka kwa Ramadhani Ighondu mwenye namba +255717760473 ambaye ni afisa Usalama wa Taifa anayefanya kazi ikulu hivi sasa. Alijitambulisha kuwa yeye ni Usalama wa Taifa ametumwa na mkuu wake wa kazi aje aongee na Zitto, Maelezo ya msingi katika simu hii ilikuwa ni bwana Ramadhani Ighondu kuomba miadi ya kuonana kutokana na agizo la mkuu wake wa kazi.
Siku sita baadae yaani Jumatatu ya tarehe 23/6/2008 saa 07:52 asubuhi, Zitto alipigiwa tena simu na Ramadhani Ighondu akimkumbusha maongezi yao waliyo fanya siku 6 zilizopita na kumuomba siku hiyo jioni waonane, ingawa Zitto alionekana kusita kidogo lakini baadae alikubali, Walikubaliana wakutane Sea Cliff Hotel, ilipofika jioni ya siku hiyo Zitto akiwa na marafiki zake wawili Omar Lyasa na Abdalah Said walifika Sea Cliff Hotel wakaketi na kuagiza vinywaji, Baada ya kama dakika kumi hivi Zitto alipokea simu ikimuelekeza alipo bwana Ramadhani Ighondu kisha Zitto akawaambia marafiki zake wamsubiri kidogo, akaondoka kuelekea aliko elekezwa…..
Mashariki mwa lango kuu la kuingilia Sea Cliff Hotel mita kama tatu tu kuna mlango mdogo unaoelekea kwenye vyumba maalumu (VIP), chumba namba 8 ndicho Zitto alichokuwa anaelekezwa kwa simu kuingia, chumba hiki kina meza moja na sofa zilizo zunguka meza ile zenye uwezo wakukaliwa na watu watano hadi sita, Ndani ya chumba kile Zitto anakutana na watu watatu ambao ni Steven Wasira, Ramadhani Ighondu na Abdalla Punja (hawa wote ni TISS)
Mazungumzo yao ndani ya chumba hiki yalianza maramoja, akianza Mr Ighondu kueleza sababu za wao kumuita Zitto, kikubwa ilikuwa ni “bwana Zitto, serikali (ikulu) inakutaka uache kuibana na kuishurutisha hasa kwa hili suala la Buzwagi”. Tunaomba kujua shida yako kubwa ni nini?” Ighondu alihoji, Katika majibu yake Zitto anajibu, “Mimi napigania haki za watanzania, nimechaguliwa na wanakigoma na watanzania wameniamini ni wawakilishe hivyo”, Lakini mashambulizi ya ushawishi yalipozidi Zitto alilegeza msimamo wake.
Katika kikao hiki kilichochukua masaa mawili, Zitto anaonekana kusita sana na anaomba apewe muda akafikirie aliyoitiwa, wote wanaafiki na kukubali ombi la Zitto na kikao kinaahirishwa.
Siku tatu tu baada ya kikao cha Hotel ya Sea Cliff, yaani tarehe 27/6/2008 Zitto anakutana na Naibu Mkurugenzi wa TISS Ndugu Jack Zoka jijini Arusha, hiki sio kikao chao maalumu bali wamekutana kwa mara ya kwanza wote wakiwa kwenye shughuli za kitaifa, Katika mazungumzo yao wanaonekana ni watu wanaofahamiana japo si kwa undani, Baada ya maongezi ya dakika kadhaa wakiwa wamesimama, Mr Zoka alimuuliza “Vipi vijana wangu walikupa ujumbe, umefikia wapi?” Zitto aliitikia kwa kucheka na kusema “yap nipo tayari, lakini nihakikishieni usalama wangu” Katika maongezi haya, Zoka anasikika akisema“Ondoa shaka” Kisha Mr Zoka anamuagiza Zitto kuwa kesho kutwa yake aende kwa Charles Kimei (Mkurugenzi CRDB Benki) pale Makao makuu, atayakuta maagizo yake huko.
Tarehe 30/6/2008 majira ya saa 12:22 za alasiri, Zitto akiwa ameongozana na kijana mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Rajabu Abdala anaingia eneo la CRDB Benki mtaa wa Azikiwe, na kwenda moja kwamoja kuonana na Bw Kimei, baada ya salamu haikuchukua muda mrefu, Zitto akapelekwa katika moja ya vyumba maalumu vya bank hiyo kwenye jengo hilohilo la Azikiwe, baada ya kufika katika chumba hicho Zitto alihamaki kuwakuta watu wawili katika chumba hicho, mmoja alikuwa ni mfanyakazi wa bank hiyo aliyetambuliwa kwa jina la Maselina K. Kombe na mwingine hakuwa mgeni machoni mwa Zitto, alikuwa ni Ramadhani Ighondu yule wa TISS waliyekuwa naye kwenye kikao cha awali kule Sea Cliff Hotel wiki chache zilizopita, Zitto alikabidhiwa Briefcase nyekundu iliyokuwa imesheheni pesa halali za kitanzania kiasi cha Shilingi milioni 250.
Wakati hayo yakitendeka yule kijana aliyekuja na Zitto alikuwa kwenye gari aina ya Toyota Mark 11 No T 134 AAB yenye rangi nyeupe na vioo vyeusi (Tinted). Baada ya makabidhiano yaliyochukua kama dakika 10 tu, Mr Ighondu alimwambia Zitto, “tunataka utulivu, mengi mazuri yanakuja utafurahia kijana,” Na kisha Zitto akatoka na begi lake (Briefcase) na kuingia nalo katiga gari ile na kutokomea.
Uchunguzi umeonyesha kuwa pesa ile aliyokabidhiwa ndugu Zitto, ilitoka katika akaunti Namba 0J56708968923 yenye jina la Shani Maya, ambapo inaonyesha kuwa akaunti hii ilifunguliwa CRDB tawi la azikiwe tarehe 25/6/2008 saa 10:14 asubuhi, kisha tarehe 27/6/2008 iliingizwa kiasi cha pesa za kitanzania milioni 400. Na tarehe 30/6/2008 pesa hizo zilitolewa zote na akaunti hii ilifungwa. Madhumuni ya pesa hii kutoka CRDB kwenda kwa Zitto yanathibitishwa na kikao cha 23/6/2008 pale Hotel ya Sea Cliff kuwa ni kupunguza kasi ya Zitto kuibana serikali hasa anapo kuwa bungeni. Na kweli kasi yake iliyozoeleka kwenye kuibana serikali akiwa bungeni ikapungua na kuweka msingi wa ujenzi wa mashaka juu ya mwenendo wake wa kibunge.
SEHEMU YA PILI 2009
Mnamo Jumatatu ya tarehe 30/11/2009 saa 04:30 asuhuhi wakati wa maandalizi ya uchaguzi wa mkuu wa 2010, idara ya ujasusi ya ccm ilikutana kwa siri pale Moven Pick/SERENA Hotel, ndani ya idara hii wakiwamo Jack Zoka, Wilson Mkama, Kingunge Ngombale Mwiru, Jakaya Kikwete, Nape Nnauye, Fred Kimati, Steven Wasira, Ramadhani Ighondu, Martin Palakyo, Mwigulu Nchemba, Ahamed Msangi na Abdalla Punja. Katika kikao hiki yalijadiliwa mengi sana, lakini kubwa lilikuwa nikukabiliana na vyama vya upinzani hususani CHADEMA, zilipangwa mbinu nyingi sana juu ya Chadema, Mbinu hizo ni kama ifuatavyo:
Kuwanunua wagombea ubunge na Udiwani (Mtakumbuka wagombea wetu kadhaa walikuja kununuliwa na chama kina ushahidi kwenye hili).
Kuwanunua VIONGOZI wajuu wa CHADEMA.
Kutumia TISS kutisha wagombea na wanachama wa Chadema (Hii ilikuwa ni kuwakamata au kuvuruga mikutano).
Kuwaua baadhi ya wafuasi wa Chadema, viongozi wa Chadema na wabunge.
Kuwanunua VIONGOZI wajuu wa CHADEMA.
Kutumia TISS kutisha wagombea na wanachama wa Chadema (Hii ilikuwa ni kuwakamata au kuvuruga mikutano).
Kuwaua baadhi ya wafuasi wa Chadema, viongozi wa Chadema na wabunge.
Lakini walitilia mkazo zaidi njia ya kwanza ,ya pili na ya tatu ambapo kikao kilijiridhisha kuwa mmoja wa VIONGOZI wa Chadema ambae ni Zitto Kabwe ni mtu wao ambaye wamesha anza kumtumia, kikubwa liandaliwe fungu tu kwa ajili yakuanza mikakati yao, Waliafikiana mambo mengi kwaajili ya uchaguzi wa mwaka ambao ungefuata, na wakakubaliana mambo kadhaa ambayo walimuagiza Mr Zoka akamwambie Zitto nini cha kufanya ili kupunguza nguvu ya upinzani.
Kwa upande wake Zoka alikiambia kikao kuwa Zitto amemthibitishia kuwa yeye anawafuasi wakutosha ndani ya chama ambapo watamuunga mkono kwa lolote hivyo kikubwa ni pesa tu. Lakini kwanza kikao hicho kilimtaka Mr Zoka amwambie Zitto kuwa taarifa zote zinazoihusu Chadema na za kila vikao vya ndani vya chama zinatakiwa pia ziifikie timu hiyo ya kijasusi ya ccm, pili walitaka Zitto apunguze ushiriki katika majukwaa ya chama na shughuli nyingine za chama. Baada ya kikao sasa ulikuwa ni utekelezwaji wa maadhimio yao.
Zoezi la kikao cha tarehe 30/11/2009 linaonyesha kuzaa matunda hasa baada ya kubainika mawasiliano ya karibu sana kati ya Zitto na Jack Zoka, Kwamfano: Jumamosi ya tarehe 6/12/2009 saa 03:43 asubuhi Zoka kupitia namba yake ya simu +255756809535alimpigia simu Zitto kupitia simu yake ya kiganjani ambayo ni +255754787550, wakati wa mawasiliano yao haya ya simu Zitto alikuwa Tabata na maongezi yao yalihusu kikao cha 30/11/2009 na kile walichoamua timu ya kijasusi ya chama (ccm) na matakwa yao kwa Zitto. Ndani ya maongezi yao yaliyochukua dakika 68, Zitto anasema, “Mr kazi hii ni nzito, vipi mmeongeza hela? Isije kuwa kama ile ya mwaka jana.” Anajibiwa na Zoka kuwa“ondoa shaka una dili na Jamhuri, hela sio tatizo”
Lakini zaidi Zitto anamshauri bwana Zoka kuwa utaratibu wa uchukuaji wa pesa ubadilike, “Mr Jack ile staili ya uchukuaji pesa kule CRDB mwaka jana ilinitisha kidogo halafu hii isije ikabumburuka vyombo vya habari vipo makini kweli sasa hivi” Anajibiwa na Bwana Zoka kuwa “Tunazo njia nyingi sana ambazo si TAKUKURU wala polisi wanaoweza kubaini, tusikilize sisi, tutakacho kuambia ujue ni salama, Haya Mr (Zitto) wewe unayajua mazingira vizuri katika nchi moja ya Ulaya?, au unaweza kutafuta mtu unae mwamini huko ili atumiwe yeye hiyo pesa na awe wa kuaminika ili tumtumie kwa vipindi hivi vyote, kisha uifuate huko au uangalie mwenyewe njia sahihi ya kuichukua huko” Suala la kumpata mtu Ulaya lilionekana kama zito kidogo kwa Zitto, kwani aliomba wawasiliane kesho yake ili awe na jibu la uhakika.
Tarehe hiyo hiyo 6/12/2009 ya Jumamosi saaa 23:05 usiku, Zitto kupitia simu yake ya mkononi namba +255754787550, alipiga namba +4915739444853, kimaongezi walionekana ni watu wanafahamiana sana, alikuwa anaongea na mwanamke ,waliongea mengi lakini kubwa lilikuwa ni Zitto kuomba kupitisha hela yake kwenye akaunti ya huyu mtu. Mwanamke huyu alihoji kama pesa hiyo ni nyingi na haina madhara? Lakini alijbiwa sio nyingi na haina madhara kwakuwa inatoka serikalini na chama tawala, Mwanamke huyo alizidi kuhoji zaidi, “sasa vyombo vya dola vya hapa Berlin vikinihoji nitasema nimepata wapi?” Anajibiwa kuwa “Darling huniamini? Nimesoma na wewe na nimefanya kazi na wewe, lakini huniamini? Utasema umelipwa nchini Tanzania kwa kazi yako”, kisha katika maongezi ya hapa na pale dada akakubali na baada ya dakika kumi akamtumia akaunti namba 033B 33093101 Berliner Bank German.
Baada ya kuipata akaunti hii Zitto hakuchelewa, akaipeleka kwa Mr Zoka kwa njia ya ujumbe wa maandishi (sms), baada ya dakika 5, Zoka akampigia simu Zitto kupitia namba+255756809535 nae Zitto akapokea kupitia namba +255754787550, na mazungumzo yao yaliyochukua dakika 6 yakaendelea, Zoka aliuliza swali kuwa “Mwenye akaunti hiyo huko Ujerumani unamwamini na unamjua vema?” Majibu ya Zitto yalikuwa “Ondoa shaka Mr Jack nafanya kazi ya hatari na wewe , siwezi kukuangusha au kujiangamiza, huyu mtu nimesoma nae na ninamfahamu in and out” Zoka akajibu “ok”.
Jumatano ya tarehe 16/12/2009 majira ya saa 13:12 za mchana kwa Ujerumani akaunti namba 033B 33093101 Berliner Bank, ziliingizwa dola za kimarekani 266,000 pesa hizi katika uchunguzi zimebainika kuwa zilitoka Tanzania katika Benki ya NMB tawi la NMB House jiji Dar katika akaunti namba 2231604658 yenye jina la TSA, hii ni moja ya akaunti za siri za TISS, ambapo wao ndio huzisimamia akaunti zao zote kwa kutumia mawakala (TISS) walio ndani ya benki hiyo.
Kujiridhisha kuwa pesa hiyo ilifika Ujerumani, kunabainishwa na mawasiliano ya barua pepe kati ya Zitto Kabwe na yule mwanamke wa kijerumani aliyemtumia akaunti ya benki, anafahamika kwa jina la Andrea Cordes, mawasiliano yaliyofanywa tarehe 17 alhamisi saa 20:34 usiku ambapo Andrea kupitia barua pepe yake acodes@gmail.com anamwandikia Zitto kupitia barua pepe ya Zitto iitwayo zittokabwe@gmail.com , Andea anasema “Hey sweet, mzigo yako imefika, can we talk?” Ujumbe huu unajibiwa na Zitto saa 21:03 usiku huo kwakusema, “I’m so sorry my darling, nimechelewa kukujibu, I will call you soon”
Saa 23:23 Zitto Kabwe kupitia simu yake ya kiganjani namba +255754787550, alimpiga Andrea Codes kupitia namba +4915739444853, akimweleza kuwa anashukuru kwa mzigo kumfikia, lakini anataka kumpa utaratibu wa kuichukua hiyo pesa, ambapo alimweleza kuwa atakuwa anaichukua kidogo kidogo kila mwezi kwa njia ya Western Union kuanzia dola 20,000 hadi dola 50,000, wakati huo Andea Codes atakula kamisheni ya dola 25,000.
Uchunguzi wa ndani umebaini pesa hiyo ilitumwa kwa Zitto ndani ya miezi 8 kwa vipindi tofauti kupitia Western Union kama alivyoomba, na alikuwa anachukulia maeneo tofauti tofauti hapa jijini Dar, vilevile uchunguzi umebaini kuwa mwanamke huyu ni Mjerumani aliyewahi kuishi Tanzania na amezaa mtoto mmoja hapa Tanzania, Mwanamke huyu anaitwa Andrea Cordes, anaishi Mechernich Ujerumani, mtaa namba 134, nyumba namba 141, anafanya kazi UN Women Nationales Komitee Deutschland e.V. Shirika ambalo shughuli zake huendeshea pia Tanzania. Katika uchunguzi zaidi imebainika kuwa akaunti aliyomtumia Zitto ni ya kwake binafsi, katika ushahidi tuliobaini kupitia benki iitwayoBerliner Bank yenye Code No Hardenbergstraße 32, 10623 iliyopo mjini Berlin nchini Ujerumani.
SEHEMU YA TATU 2010Uhusiano usio wa kawaida na wa karibu wa Zitto na viongozi wa ccm, serikali na wale wa Usalama wa Taifa uliendelea kushamiri hasa kipindi cha kampeni na kipindi cha uchaguzi mkuu wa 2010, Mfano tarehe 7/9/2010 siku ya jumanne saa 11:21 asubuhi, Ahmed Msangi kupitia namba yake ya simu ya kiganjani +255784277884, alimpigia Zitto kupitia simu ya kiganjani namba +255754787550 waliongea mambo mengi japo kwa muda mfupi, na jambo kubwa lilikuwa ni “vipi kuna kipya ndani ya Chadema?” Zitto alijibu “yapo mengi lakini hayana impact kwa ccm” Msangi anajibu “Ok mr nikutakie siku njema”
Lakini mawasiliano ya simu yaliyochukua mda mrefu zaidi yalikuwa kati ya Zitto na Zoka yaliyofanywa tarehe 10/9/2010 siku ya ijumaa saa 07:04 jioni na mazungumzo yao yalichukua dakika 71, Mazungumzo haya yalifanywa wakati huo Zitto akiwa katika hoteli ya Blue Pearl Ubungo, Mr Zoka alitaka kujua mambo kadhaa kuelekea Uchaguzi mkuu, kwanza alimuuliza “Mr Zitto umejiandaaje, una timu ya kazi?” Zitto akajibu “nipo fiti kiakili na kimwili na nina timu ya kutosha, ondoa shaka juu yangu, kama ipo hiyo hela tumeni tu Ujerumani kwenye ile akaunti, na ningeomba kukutana na mwenyeti wenu (rais JK)” Zoka lijibu “hilo halina tabu nitalifikisha sehemu husika bwana Zitto”,
Uchunguzi umebainisha kuwa akaunti namba 033B 33093101 Berliner Bank ya Germaniliendelea kuingizwa pesa kwa nyakati tofauti kutoka Tanzania kupitia NMB akaunti namba 2231604658 yenye jina la TSA ambayo ni moja ya akaunti za siri za TISS.
Mfano: tarehe 29/9/2010 siku ya juma tano, kiasi cha dola 250,000 kiliingizwa kwenye akaunti hii 033B 33093101 ya Ujerumani, kutoka akaunti namba 2231604658 NMBTanzania,
Tarehe 06/01/2011 siku ya alhamisi, kiasi cha dola 240,000 kiliingizwa kwenye akaunti hii 033B 33093101 ya Ujerumani, kutoka akaunti namba 2231604658 NMB Tanzania,
Tarehe 21/6/2011 siku ya jumanne, kiasi cha dola 240,000 kiliingizwa kwenye akaunti hii 033B 33093101 ya Ujerumani, kutoka akaunti namba 2231604658 NMB Tanzania,
Tarehe 09/12/2011 siku ya ijumaa, kiasi cha dola 255,000 kiliingizwa kwenye akaunti hii 033B 33093101 ya Ujerumani, kutoka akaunti namba 2231604658 NMB Tanzania,
Tarehe 02/02/2012 siku ya alhamisi, kiasi cha dola 260,000 kiliingizwa kwenye akaunti hii 033B 33093101 ya Ujerumani, kutoka akaunti namba 2231604658 NMB Tanzania,
Tarehe 14/05/2012 siku ya jumatatu, kiasi cha dola 250,000 kiliingizwa kwenye akati hii 033B 33093101 ya Ujerumani, kutoka akaunti namba 2231604658 NMB Tanzania,
Tarehe 13/12/2012 siku ya alhamisi, kiasi cha dola 255,000 kiliingizwa kwenye akati hii 033B 33093101 ya Ujerumani, kutoka akaunti namba 2231604658 NMB Tanzania,
Uchunguzi umebainisha kuwa pesa zote zilimfikia Zitto kwa njia ya Western Union akitumiwa dola 50,000 mpaka dola 20,000 kati ya wiki mbili mpaka mwezi mmoja.
SEHEMU NNE: MATUMIZI YA PESA HIYO
Uchunguzi umezidi kubaini kuwa kuanzia mwanzoni mwa mwaka 2011, kutoka kuugwa mkono na wanachadema kama mwanasiasa makini, Zitto aliamua kuunda kundi la uasi ndani ya chama. Baadhi ya waliounda kundi hili ni:
Uchunguzi umezidi kubaini kuwa kuanzia mwanzoni mwa mwaka 2011, kutoka kuugwa mkono na wanachadema kama mwanasiasa makini, Zitto aliamua kuunda kundi la uasi ndani ya chama. Baadhi ya waliounda kundi hili ni:
Zitto Z. Kabwe +255754787550/756809535/713730256Juliana Shonza +255714669850/756359073
Habib Mchange +255762178678
Mtela Mwampamba +255718037358/755178927
Gwakisa Burton +255713316790
Eddo Makata +255757149043/655148758
Greyson Nyakarungu +255755023503
Adams Chagulani +255767137831
Deogratius Kisandu +255655025609
John M. Shibuda +255754465597
Kitila Mkumbo +255754301908
Exaud Mamuya +255767160685
Ben Saanane +255768078523
Habib Mchange +255762178678
Mtela Mwampamba +255718037358/755178927
Gwakisa Burton +255713316790
Eddo Makata +255757149043/655148758
Greyson Nyakarungu +255755023503
Adams Chagulani +255767137831
Deogratius Kisandu +255655025609
John M. Shibuda +255754465597
Kitila Mkumbo +255754301908
Exaud Mamuya +255767160685
Ben Saanane +255768078523
Timu ya upelelezi imebaini kuwa kundi hili lilikuwa linapokea fedha kutoka kwa Zitto kwa njia ya M-Pesa, Uchunguzi umebaini kuwa kuanzia 2011 kundi hili lilianza kutumiwa pesa na Zitto kwa njia ya M-Pesa kila mwezi, ambapo kila mwanakundi alikuwa akipokea kati ya 150,000/= mpaka 200,000/= , na ilipofika mwishoni mwa mwaka 2012 kundi hili sasa likawa linalipwa karibu kwa wiki,
Takwimu za malipo ya wafuasi wa kundi hili kutoka kwa Zitto kwa mwaka 2012 zinaonyesha walilipwa kwa njia ya M-PESA No+255756809535 hii ni namba mojawapo ya Zitto Zuberi Kabwe:
Tarehe 25/2/2012 saa 10:09 asubuhi, Zitto Kabwe kupitia +255756809535 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi lake, Juliana Shonza +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela Mwampamba +255755178927, Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata +255757149043, Greyson Nyakarungu +255755023503, Deogratius Kisandu +255655025609, Adams Chagulani +255767137831, Exaud Mamuya +255767160685, Ben Saanane +255768078523,
Baada ya hapo saa 10:32 asubuhi hiyohiyo Zitto Kabwe kupitia namba yake ya simu+255756809535 aliwatumia shilingi 200,000/= Mkumbo Kitila +255754301908 na John Shibuda +255754465597
Tarehe 26/3/2012 saa 11:12 asubuhi, Zitto Kabwe kupitia namba yake ya simu+255756809535 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi lake, Juliana Shonza +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela Mwampamba +255755178927, Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata +255757149043, Greyson Nyakarungu +255755023503, Deogratius Kisandu +255655025609, Adams Chagulani +255767137831, Exaud Mamuya +255767160685, Ben Saanane +255768078523, Baada ya hapo saa 11:43 asubuhi hiyohiyo Zitto Kabwe kupitia namba yake ya simu +255756809535 aliwatumia shilingi 200,000/= Mkumbo Kitila +255754301908 na John Shibuda +255754465597
Tarehe 20/4/2012 saa 09:11 asubuhi, Zitto Kabwe kupitia namba yake ya simu+255756809535 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi lake, Juliana Shonza +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela Mwampamba +255755178927, Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata +255757149043, Greyson Nyakarungu +255755023503, Deogratius Kisandu +255655025609, Adams Chagulani +255767137831, Exaud Mamuya +255767160685, Ben Saanane +255768078523, Baada ya hapo saa 10:30 asubuhi hiyohiyo Zitto Kabwe kupitia namba yake ya simu +255756809535 aliwatumia shilingi 200,000/= Mkumbo Kitila +255754301908 na John Shibuda +255754465597
Tarehe 22/5/2012 saa 10:15 asubuhi, Zitto Kabwe kupitia namba yake ya simu+255756809535 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi lake, Juliana Shonza +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela Mwampamba +255755178927, Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata +255757149043, Greyson Nyakarungu +255755023503, Deogratius Kisandu +255655025609, Adams Chagulani +255767137831, Exaud Mamuya +255767160685, Ben Saanane +255768078523, Baada ya hapo saa 11:02 asubuhi hiyohiyo Zitto Kabwe kupitia namba yake ya simu +255756809535 aliwatumia shilingi 200,000/= Mkumbo Kitila +255754301908 na John Shibuda +255754465597
Tarehe 28/6/2012 saa 13:51 mchana, John M. Shibuda kupitia namba yake ya simu+255754465597 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wenzake, Habib Mchange +255762178678, Mtela Mwampamba +255755178927, Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata +255757149043, Deogratius Kisandu +255655025609, Adams Chagulani +255767137831, Exaud Mamuya +255767160685, Ben Saanane +255768078523, Greyson Nyakarungu +255755023503, Juliana Shonza +255756359073,
Baada ya Shibuda kuwalipa 28/6/2012 saa 13:51 mchana, sasa Zitto alibadili mfumo wa malipo ukawa wa TIGO PESA +255713730256 lakini viwango vilevile na mtiririko ulele.
Tarehe 22/7/2012 saa 08:17 asubuhi, Zitto Kabwe kupitia namba yake ya simu +255713730256 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi lake, Ben Saanane +255768078523, Adams Chagulani +255767137831, Juliana Shonza +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela Mwampamba +255755178927, Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata +255757149043, Greyson Nyakarungu +255755023503, Deogratius Kisandu +255655025609, Exaud Mamuya +255767160685, Kisha saa 09:38 asubuhi hiyohiyo Zitto Kabwe kupitia namba yake ya simu +255713730256 aliwatumia shilingi 200,000/= Mkumbo Kitila +255754301908 na John Shibuda +255754465597
Tarehe 24/8/2012 saa 09:06 asubuhi, Zitto Kabwe kupitia ++255713730256 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi lake, Ben Saanane +255768078523, Adams Chagulani +255767137831,Juliana Shonza +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela Mwampamba +255755178927, Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata +255757149043, Greyson Nyakarungu +255755023503, Deogratius Kisandu +255655025609, Exaud Mamuya +255767160685, Kisha saa 09:23 asubuhi hiyohiyo Zitto Kabwe kupitia namba yake ya simu +255756809535 aliwatumia shilingi 200,000/= Mkumbo Kitila +255754301908 na John Shibuda +255754465597
Tarehe 02/09/2012 saa 09:52 asubuhi, Zitto Kabwe kupitia +255713730256 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi lake, Ben Saanane +255768078523, Adams Chagulani +255767137831, Juliana Shonza +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela Mwampamba +255755178927, Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata +255757149043, Greyson Nyakarungu +255755023503, Deogratius Kisandu +255655025609, Exaud Mamuya +255767160685, Kisha saa 10:43 asubuhi hiyohiyo Zitto Kabwe kupitia namba yake ya simu +255713730256 aliwatumia shilingi 200,000/= Mkumbo Kitila +255754301908 na John Shibuda +255754465597
Tarehe 20/09/2012 saa 10:19 asubuhi, Zitto Kabwe kupitia +255713730256 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi lake, Ben Saanane +255768078523, Adams Chagulani +255767137831, Juliana Shonza +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela Mwampamba +255755178927, Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata +255757149043, Greyson Nyakarungu +255755023503, Deogratius Kisandu +255655025609, Exaud Mamuya +255767160685, Baada ya hapo saa 10:53 asubuhi hiyohiyo Zitto Kabwe kupitia namba yake ya simu +255713730256 aliwatumia shilingi200,000/= Mkumbo Kitila +255754301908 na John Shibuda +255754465597
Tarehe 24/10/2012 saa 11:18 asubuhi, Zitto Kabwe kupitia +255713730256 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi lake, Ben Saanane +255768078523, Adams Chagulani +255767137831, Juliana Shonza +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela Mwampamba +255755178927, Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata +255757149043, Greyson Nyakarungu +255755023503, Deogratius Kisandu +255655025609, Exaud Mamuya +255767160685, Kisha saa 11:52 asubuhi hiyohiyo Zitto Kabwe kupitia namba yake ya simu +255713730256 aliwatumia shilingi 200,000/= Mkumbo Kitila +255754301908 na John Shibuda +255754465597
Tarehe 25/11/2012 saa 10:34 asubuhi, Zitto Kabwe kupitia +255713730256 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi lake, Juliana Shonza +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela Mwampamba +255755178927, Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata +255757149043, Greyson Nyakarungu +255755023503, Deogratius Kisandu +255655025609, Adams Chagulani +255767137831, Exaud Mamuya +255767160685, Baada ya hapo saa 10:56 asubuhi hiyohiyo Zitto Kabwe kupitia namba yake ya simu+255713730256 aliwatumia shilingi 200,000/= Mkumbo Kitila +255754301908 na John Shibuda +255754465597
Tarehe 29/11/2012 saa 12:12 mchana, Zitto Kabwe kupitia +255713730256 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi lake, Juliana Shonza +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela Mwampamba +255755178927, Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata +255757149043, Greyson Nyakarungu +255755023503, Deogratius Kisandu +255655025609, Adams Chagulani +255767137831, Exaud Mamuya +255767160685, Baada ya hapo saa 12:32 mchana huohuo Zitto Kabwe kupitia namba yake ya simu+255713730256 aliwatumia shilingi 200,000/= Mkumbo Kitila +255754301908 na John Shibuda +255754465597
Kundi hili lilikuwa na mipango mingi sana, lakini lengo/shabaha/dhamira ilikuwa ni moja tu nayo ni kukidhohofisha Chadema kwa manufaa ya ccm. Uthibitisho wa lengo la kundi hili unabainishwa katika mawasiliano ya simu kati ya Zitto na wanakikundi hicho, katika ujumbe wa maandishi (sms) aliousambaza kwa wanakikundi hiki Zitto anasisitiza umakini ili wasije kujulikana na Chama, vilevile anawasisitiza kukisajili kikundi hiki ikiwa ni pamoja na kufungua akaunti ya benki ya kikundi hiki,
Ujumbe mwingine aliousambaza tarehe 30/11/2012 saa 08:21 kwa wafuasi wa kundi hili kupitia namba +255713730256, unasema, “Ni lazima tukidhibiti hiki kibabu vile vile lazima tumng’oe Mbowe, Tunadanganyana tu kuwa chadema itaingia ikulu, kwanza simamieni harakati za kushinikiza kadi ya kibabu irudishwe ccm”.
Timu ya kijasusi imejiridhidha kuwa Ben Saanane alikuwa kwenye kundi hilo kwa kazi maalumu na ameisaidia sana timu hii ya ujasusi kupata habari muhimu za ndani za kundi hilo la uasi lililokuwa limejipanga kwa ustadi likitumia mbinu za kuwagombanisha viongozi wa juu wa chama hasa likilenga Mwenyekiti na Katibu mkuu, huku juhudi za kumkwamisha mwenyekiti wa BAVICHA nazo zikipamba moto na kusukwa kwa ustadi mkubwa, Kikundi hiki hakikuishia hapo tu kwani kilianzisha mradi wa kuwatukana viongozi wa Chadema na familia zao, kuanzisha tuhuma za uongo na kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii. Lilianzisha mradi wa kuhubiri udini, ukanda na ukabila ndani ya chama kwa kutumia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii. Likaanzisha tena harakati za kumpindua mwenyekiti kupitia kifupi cha jina PM7 (Pindua Mbowe 7) nk.
MAPENDEKEZO YA HATUA ZA KUCHUKUA
Baada ya kujiridhisha kuwa Zitto Zuber Kabwe Mbunge wa Chadema na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, ameasi Chama na ameunda kundi ndani ya chama linaloendesha vuguvugu la mapinduzi kwa viongozi halali wa chama kwa ufadhiri wa chama tawala ccm, ikiwa ni kinyume cha katiba na itifaki za chama, Timu ya ujasusi inapendekeza yafuatayo:
Chama kijiridhishe bila ya kuacha chembe ya mashaka kutoka kwa wahusika wa kikundi hiki ambao ni Zitto na wenzake, Ikiwa watakiri kuhusika, Chama kiwaamuru wawaombe radhi wanachama.
Naibu Katibu mkuu ndugu Zitto Kabwe na Makamu Mwenyekiti wa BAVICHA ndugu Julina Shonza wapime wenyewe kama wanastahili kuendelea na nafasi zao za uongozi ndani ya Chama.
Ikiwa Chama kitaamua kuunda tume ya uchunguzi wa haya, wahusika wote hasa wenye vyeo kama Zitto Kabwe na Juliana Shonza wawekwe pembeni na shughuli za Chama ili kupisha uchunguzi huru.
Chama kiwavue uanachama Zitto Kabwe na kundi lake lote bila kusita, hii inatokana na mikakati ya kukiangamiza chama inayoendelea ndani ya CCM kwa ushirikiano wa Zitto Kabwe na viongozi waandamizi wa ccm.
Kuelekea 2015, Idara ya ujasusi ya chama iongezewe nguvu na mafunzo, ikiwezekana kiundwe kikosi maalumu nje ya timu ya kijasusi iliyopo sasa na kipewe mafunzo na vitendea kazi vya kutosha kwaajili ya ulinzi wa chama na viongozi wake.
Chama kianzishe utaratibu wa semina au mafunzo ya kipindi kifupi na kati kwa makada wake jinsi ya utumiaji wa mitandao ya kijamii.
Kiundwe kitengo cha propaganda za kisiasa chenye watu weledi wa mambo na masuala mbalimbali na kipewe uwezo ili kukabiliana na propanda za chama tawala na vyama vingine.
Chama kizidi kuchukuahatua stahiki za kimaamuzi dhidi ya viongozi au wanachama wanao dhoofisha harakati za mabadiliko kuelekea 2015 na baada ya 2015
Mwisho tunawashukuru baadhi ya maafisa wa kijasusi wa mjini Berlin Ujerumani waliosaidia kupata baadhi ya taarifa muhimu kutoka Ujerumani.
Mwisho tunawashukuru baadhi ya maafisa wa kijasusi wa mjini Berlin Ujerumani waliosaidia kupata baadhi ya taarifa muhimu kutoka Ujerumani.
Chanzo cha habari ni halihalisi255.wordpress.com
kwanza inahitaji ujasiri kupambana na mtu kama zitto ingawa mimi sikuwahi kumwamini
ReplyDeleteKama siasa ndo hii basi Tanzania hakuna upinzani, kama wapinzani wachache kuwa vibaraka wa chama kingine kwa maslahi binafsi.
ReplyDeleteThis comment has been removed by the author.
ReplyDeleteacheni majungu iko waz chadema hamchukui nchi na zito ni kiongozi mzur na wa kuigwa ni kweli chama kina udini na ukabila
ReplyDeleteWwe una mawazo mgando...ukishaambiwa/faham kitu hukubali mabadiliko.
DeleteSikia we nyau, Zito mbuzi tu. chadema tuna hundead thousands of people zaidi ya zito. kama vipi mchukueni tu. halafu muone kama madai ya wananchi ndio yataisha.
Deletejamaa kenge kweli huyo....
Deleteukitaka kumuuwa paka mpe jina baya tuuuuuuuuu TUMEELEWA
ReplyDeletehaya sasa wenyewe kwa wenyewe na bado
ReplyDeletehamna lolote wote ndio wale wale hakuna mwema hata mmoja wote kitu kimoja unafiki tu tumewachoka na siasa zenu
ReplyDeleteKileo
ReplyDeleteHaya mnayo hangaika nayo kila kona ni fahari gani kwa Chama ?Katika blog hii unaweza kusema mengi ya maana kama blogger lakini haya ya Zitto why ? Kwa faida ya nani ? Mnamsidia nani kuvutana namna hii ? Mnaondoa hadhi ya Chama na bila watu Chadema is nothing .Think again kaka ondoa hii kitu hakujengi wewe wala Chadema .Kama unadhani ni utani keep on doing it mtaona .
mkuu hali ilivyo wacha ikae ivyo watu wanakufa watu wanaumia kisa kuna cocoroch ndani ya chama bora tuwe na watu wachache wenye uzalendo hili kukomboa nchi hii hapa hakiaribiki kitu watu wanajua pesa yao ndio inavyotumika kuwamaliza si jambo baya kabisa unafikiri hizo dola wanatoa wapi people they should know how their money used zinztumika kuwaua hii lazima wajue hili wasiendelee kumuunga mkono muuuaji
DeleteThis comment has been removed by the author.
ReplyDeleteKWA WATU KAMA SISI TUNAOFATILIA MAMBO NA KUYAFAHAM KIUMAKINI storiii yenu tunaiona kuwa ni nzuri na muna stahiki pongezi coz imetungwa vizuri bt angalizo kwa wanasakos wa CHADEMA ilikuwa haina haja ya kubuni hili kama ilikuwa hamutaki kumpa nafasi huyo jamaa mungali tumia jia ingine bt kwa staili hii aaaaa sacos yenu itakufa haraka na pia musahau kama muna weza kushika hii nchi kama mutaeendelea kueabinya vijana wenye ushawishi kama zito coz hata mii ninge muunga bila ya kujali chama chake
ReplyDeletemh!!
DeleteUtumbo mtupu.
ReplyDeleteNaona hii kitu imetungwa kama propagana hangout operation ya chadema --> repoti ina makosa mengi ya lugha , herufi zimekosewa kosewa ,kuna sentensi hazina mashiko kabisa , nakumbuka kuna kipindi Dr.Slaa alitoka nakumsema Sitta kuwa ni mnafiki kufuatia Sita kutoendelea na mpango ya kugombea uraisi kupitia chadema , alafu hii ilikuwa silent operation ya chadema na hata kina zitto walikuwa hawana habari yakinachoendelea.Hapa inaonyesha hawa jamaa wa TIS walijipanga kisawasawa aise usikute wamesha hata wanunua kina Mbowe na viongozi wangine kwa siri sema sasa wenyewe chadema hawana habari.Kazi sasa imebaki kwa watanzania kuamua kweli hata kama ni rushwa ukiangalia ela zilizoenda ujerumani ni zaidi ya bilion mbili za kitanzania ,Zitto hakuwa mjanja , hizo hela zilikuwa ni nyingi sana angejenga barabara na mashule kwenye jimbo lake ili hata likija kubumburuka ana la kusema kuwa alikula hela na wanaichi wake lakini alichokifanya akiendani na hata elimu aliyo nayo eti ameunda kundi la majungu ndani ya chadema na hela nyingine kagawana na malaya wake wa ujerumani hela ambayo ni kodi ya wananchi maskini watanzania.
ReplyDeletemwenye macho haambiwi tazama, tulishamwona Zitto kwa muda kama msaliti ambaye awali alikuwa na nia zuri, sasa tunajihakikishia tu, mimi kwa vile nina ndg wakaribu waliopo Serekalini nayafahamu kwa undani yanayozungumziwa kuwa ni ukweli, SIAMINI SANA KATKA SIASA AU WATU BT DIRECTION ZA KIMUNGU ZINAONYESHA TANZANIA TUNAHITAJIWA KUWEPO KWENYE MFUMO MPYA USIO NA HULIKA YA KUFICHA MAMBO YA GIZA, Fikirieni kwann tukio la bomu Arusha Zitto hakuwepo, na kwann baada ya kuona Mbowe hajafa inaanza mikakati ya kumtoa, Mi sioni haja ya kumfumbia macho, Atoke kabisa na si alishasema hagombei Ubunge,inatosha kuwa wawili tukafanya kazi ya kukomboa Nchi,
ReplyDeletehii naona walikuwa wanatengeneza movie, BONGO MOVIE,hii ni moja ya SCRIPT WRITING
ReplyDeletezao,mwandishi sasa atakuwa busy kutafuta wanaofanana na wahusika. Amejitahidi kupoteza muda!
kiwango cha kutuma hela western union ni $ 5000 limit sasa yeye wa kuchukua 20,000 hadi 50,000 kweli aliyeandika hii habari ni bwege mtu yeyote msomi hii habari haingii akilini acheni fitna wabongo
ReplyDeleteWhat if I send $5000 five times in diffent times from diffeent branches???
DeleteHata M pesa wana ukomo wa kutuma pesa. Lakin unaweza kutuma fedha nyingi zaidu kwenda account moja kwa kutumia mawakala tofauti.
Western Union huwezi tuma au pokea in other branches kama umefika limit yakoo labda utumie ID ya mtu mwingine akupokeleee. True story.
DeleteDu... hapa umenikuna mwanawane. Haiwezekani kwanza kwa CCM kutumia mihela yote hiyo kwa ajili ya mtu mmoja. Pia haiingii akilini Zitto akamwaga mihela namna hii. Na zaidi ya yote majasusi mahiri hawatumii mitandao ya mawasiliano ya kielektroniki kufanya kazi zao-kwa kufanya hivyo habari zinavuja kila siku. Kumpa hela Zitto ni rahisi sana - ni kuchukua hizo hela na kumpa yeye moja kwa moja. Huu ubabaishaji wa kutuma hela ujerumani na kuirudisha huku ni upuuzi mtupu. Chadema lazima ipigwe mpaka iteketee, haina utaifa - ukaskazini mtupu. Nenda hata vijijini popote nchini asilimia kubwa ya viongozi wake ni haohao. Mtu anaingia kijijini anafungua duka kesho mwenyekiti wa chadema, kapewa na nani?
Deletewe muongo mara ya mwisho umetuma lini mimi nimetuma $40,000 zimefika huna hoja mnafiki mbururaaaa
Deletesasa si katoa mchango wake kwa nini unamuita muongo just read and keep silent no body is sure on this news.tunaburuzwa tuu mtu wangu kama hujui. ukitaka kujua siasa soma vitabu sana vya wanasiasa wakubwa waliopita utajua siasa ni nini lakini kam unasubiri habari kama hizi mtandaoni halafu unashabikia unajiita M4C your blind on politics
DeleteEbwan hii habari kama imechakachuliwa kinamna flani maana westen union ina limit then ela zimetumika nyingi sana ivi kuna ukweli ndani yake kweli anyway me na wewe hatujui sababu sie wote wasomaji tu.....
ReplyDeleteMie nimeona stori hii ya kizushi alipoanza na kusema alipewa TSh 250,000,000.
Delete(millioni mia mbili hamsini)
kwenye briefcase!!!!
Pesa za Tanzania za noti ya sh 10,000 zenye thamani hiyo, zitajitaji labda masanduku makubwa mawili!
Hata ingekuwa ni US dollars ndio labda zingetosha kwenye briefcase.
Hii ni uzushi na kupakana mavi tu..
Jiulize kwann haya yote yanatokea kipindi hiki?
ReplyDeleteZitto kabwe kiongozi was kuigwa hayomajungu yamepikwa ili wamchafue Udini name Ukabila upo Chadema.
ReplyDeleteZitto akitoka CHADEMA hata mimi itabidi nirudishe kadi kwani yanayosemwa yatakuwa yametimia.
ReplyDeleteChadema, embu acheni utoto, ndo maana CCM wanacheza upinzani ni sawa na Ngoma ya watoto .......! mwiko kukesha, I mean Gotdamn what the hell is this????...! Hii sio report ya kijasusi hii ni story kaka nadhani unatafuta Kick, wrong move!!!!!!!!!!!
ReplyDeleteKwa nini unadhani ni Chadema au kundi katika Chadema ameandika? Njia bora ya kudhoofisha chama chochote ni kupandikiza chembe ya kutoaminiana kati ya uongozi wa juu wa chama. Uzuri aliyoandika kakosea mengi mno - Sijui ni maksudi?
DeleteKwani CCM hawawezi kuyaandika haya? Hata hivyo Zitto ni heroic leader, si mzuri kabisa
Deletehivi hao chadema wanagomboa nchi gani?ya nani?wahamasishe hao vijana badala ya kwenda mabarabarani wakashike majembe wakalime,,,maeneo yataisha maana tukiweka jumuia ya east africa ndio tutaona uvivu wa vijana wetu,,,wengi tumekalia majungu tu,,,,tufanye kazi ni kazi,,,,,,
ReplyDeletekwanza ni kujiuliza je ni kweli Alinunuliwa na Serikali au CCM?pili je alilipwa hiyo pesa?Tatu kwanini basi Zitto anawatafuta mafisadi walioficha pesa Uswizi kwa nguvu?nne je matumizi ya Mheshimiwa Zitto yanaendana na mapato yake ya halali?Tano Mheshimiwa Zitto anafanya kazi na Usalama wa Taifa?
ReplyDeletekama movie za charlie champlin...
ReplyDeleteTRUE STORY
DeleteMkidhani kwamba ndio mnajenga chama, Kumbe ndio mnakibomoa.
ReplyDeleteNa uongozi mzima wa chadema ukionekana kupuuzia propaganda kama hizi, basi mjue nanyi mnahusika moja kwa moja kukiharibu chama.
Ambacho ningependa kuona ni kiongozi wa Juu kabisa wa chadema, ajitokeze na Aseme kama masuala haya chama kinahusika katika uchunguzi wake ama ndio propaganda. UWONGO UKISADIKIWA SANA UNAGEUKA KUWA HADHITHI NA INAINGIA KWENYE KUMBUKUMBU KAMA UKWELI
Watanzania wenzangu naomba mambo mazito na magumu kwa Taifa letu tusiyachukulie kiwepesi.Tujifunze kuwa makini na wazalendo.Lisemwalo lipo na kama halipo linakuja,ukweli utadhihiri siku moja tuombe uhai na amani kwa Mwenyezi Mungu.YOTE YAWEZEKANA TAFAKARI!
ReplyDeleteWatanzania wenzangu naomba mambo mazito na magumu kwa Taifa letu tusiyachukulie kiwepesi.Tujifunze kuwa makini na wazalendo.Lisemwalo lipo na kama halipo linakuja,ukweli utadhihiri siku moja tuombe uhai na amani kwa Mwenyezi Mungu.YOTE YAWEZEKANA TAFAKARI!
ReplyDeleteSitaki nimwamin m2 katika hili! kwa kila sehemu uwezekano ni 0.5, Niwakumbushe kuwa hii ndio siasa ya tanzania
ReplyDeleteKwanza siamini hi ripoti, Hao walioiandaa TUNAWAAMINI KIASI GANI? HAWAKUTUMWA?
ReplyDeleteMimi ni mwana chadema, ila mkiendekeza majungu haya na mkamtoa zitto, I swear Narudisha Kadi.
Tuliwatuma Mmkomboa mwananchi toka kwenye umasiki na sio kuleta hizi popaganda hazitusaidii.
Bado Tunamwamini Zitto.
Sitaki nimwamin m2 katika hili! kwa kila sehemu uwezekano ni 0.5, Niwakumbushe kuwa hii ndio siasa ya tanzania
ReplyDeleteMh! Sijui ni kweli amefanya au ndio anachafuliwa tu Jina....SIASA NOUMER SANAAAA.
ReplyDeleteSijawahi kumwamini mwanasiasa tangu nimejua siasa ni nini??
ReplyDeletewanasiasa wote ni wamoja tu.
ReplyDeletewezi tu.hakuna lolote lile.
Hii taarifa haina Faida kwa chadema. Ni muendelezo wa matukio yasiopendeza kwa chama hiki.
ReplyDelete1. Ukabila
2. Udini
3. Vurugu za Bungeni
4. Kusalitiwa kwa Rwakatere
5. Siasa za kupenda Sifa
6. Baadhi ya viongozi wake kutuhumiwa ujambazi (wizi wa magari)
7. Matumizi mabaya ya Ruzuku
Zito alishaanza kupigwa vita hata kabla ya tarehe zilizoanishwa katika taarifa hii.
Tunamjua zito, Tunajua siasa za TZ
Hakuna wa kumhukumu mwenzake.
mmh hata mimi nilikuwa namuamini zitto kama wewe unavyomwamini, lkn sasa namtazama zitto kwa jicho la tatu! do as i do
DeleteSina maana kwamba namwamini Zitto, au simaanishi kwamba hizi tuhuma hazimuhusu, ila, kila linalotokea, lina sababu ya kutokea. Inawezekana kabisa Zitto kafanya haya yote kwa sababu ya yanayoendelea ndani ya Chadema (1,2,3,4,5,6 na 7).
DeleteMhe. KILAMHAMA, Mbinu chafu kwenye siasa ni kitu cha kawaida sana. Kumbuka tunaelekea uchaguzi wa 2015 na kwa uhakika mengi yatatokea zaidi ya haya.
Hakuna asiyejua mapishi ya majungu.katika hili,mwenye akili atagundua kuwa aliyeandika haya, hajaenda shule kwani logic yake ni zero.Watanzania tukue kimtazamo. Aliyeandika ripoti hiyo ni mwana CCM.
ReplyDeleteSTORY YAKO INAMAPUNGUFU MENGI SANA...HEBU RUDIA TENA KAMANDA
ReplyDeleteinawezakuwa kweli kwasababu ZITTO ni binadam kama wengine anaweza kushawshika kwa pesa,lakin bado utendaji wake wa kazi kwa serikali,wananchi na chama chake bado ni mzuri na ndio maana bado hajasimamishwa kazi,sidhani kama CHADEMA ni wapumbavu kusema ayatende yote hayo mpaka yajulikane publically alaf wamwache bado.ZITTO naye anaopa kutautwa na maadui na kutolewa kama chambo,aliyoyafanya yanatosha kumwamin kuwa katusaidia watanzania.
ReplyDeleteChamsingi ni Viongozi wa CHADEMA kumkalisha chini na kumweleza mambo yote mabaya anayoyatenda dhidi ya chama chake hasa akiwa moja kati ya viongozi wa kubwa wa chama hicho.HAKUNA BINADAM MKAMILIFU na KUTELEZA C KUANGUKA,bado nafac ipo sana
ReplyDeleteunafiki na majungu vinaua siasa muachieni zito
ReplyDeletewe boya usikurupuke tafuta data kwanza fatilia kwanza ndio uropoke ujinga wako nenda bank pata hizo taarifa maana ziko wazi na account zimewekwa wazi
Deletemajungu yatatumaliza tu kwa nini tatizo liwe zitto tu
ReplyDeleteSiasa imefeli Tanzania kwa muda mrefu sana kuanzia chama tawala mpaka wapinzani wote njaa tupu,...Wananchi tunatakiwa tuichukue nchi yetu kama Staili ya Cairo yaani tuanze upya na chama kikizingua ndani ya mwaka tunakipiga chini
ReplyDeleteTunahitaji tamko rasmi la chama na kwa Zitto tupate ukweli halisi
ReplyDeleteNimewasoma wooooote hapa. Wewe ndiye uliyesema kweli. Wananchi wasipokee taarifa za kishabiki kirahisi. Hii ni nchi na tukiiharibu tutalia wenyewe!
DeleteSHAME ON U ZITTO KABWE NA UNAFIKI WAKO
ReplyDeleteCooked Huh?
ReplyDeleteWatanzania tuwe makini sana na wanasiasa. Ila kile kinachosemwa ujue kipo na kama hakipo basi kipo njiani kinakuja. Don't trust any politician.
ReplyDeleteNdio maana anajehuri ya kukataa posho ya vikao
ReplyDeleteKILEWO 2015, NAONA WANAKUANDAA KUGOMBEA URAISI 2015, KWA STAILI HII, CCM HAINA MPINZANI 2015. TUNAPOTEZEANA MDA TU.
ReplyDeleteiwe kweli isiwe kweli mimi muislam najua chama hicho hakinipendi
ReplyDeleteHatarii
ReplyDeleteMbona mnamsakama kamanda kilewo? kwani hamjui hii ni blog kama blog zingine? story hii ilianzia JF mbona kule hamkusema jambo lolote? hii ni forum kama forum nyingine, acheni na upuuzi wa kumsakama kilewo kwani naamini kamanda kilewo atakuwa ametoa ajira kwa watu kuendesha blog hii na wale hatuwezi kuwachagulia nini cha kuandika kwenye blog hata kama mmiliki ni kiongozi wa chama. tuweni wa dadisi tuachane na hoja nyepesi.
ReplyDeletekamanda mnafiki sana huyu akatishe mbege siasa zinaanza kumshinda
DeleteHaya ni ya kawaida. Inawezekana kabisa kuwa yaliyosemwa hapa ni kweli. Ndiyo utawala na usalama wa Taifa lolote hufanya hivi. Chadema wasijidanganye kuwa wakitawala hawatafanya vitu tofauti na hivi. Zitto anaibomoa chadema kwa nia nzuri tu. chadema hii ya Kilewo, Mushi, Lema, Mbowe na kadhalika si chadema ya siasa, ni chadema ya biashara. Nadhani waungwana mnanielewa hapa. Katika hali ya kawaida watu wenye majina haya hawawezi kucheza hata mpira kama hauna hela. Siasa si biashara. Msifanye kosa watanzania mkaichagua chadema, itakuwa biashara na baadaye ukabila. Taarifahii ni propaganda za kipmbaf
ReplyDeleteTunafahamu kwa undani mipango ya siri ya Mbowe, Lema, Wenje na vibaraka wengine wa Mbowe ya kutaka kumchafua Zitto kwa sababu ya uroho wa madaraka wa Mbowe aendelee kugombea uenyekiti. Blog imetengenezwa na Mbowe na vibaraka wake maalumu kutaka kumuangusha Mbowe, sisi wafuasi wake tunasema hilo haliwezekani lazima Mbowe aachie Madaraka mara vipindi vyake viwili vikiisha,, hakika moto utawaka Mbowe na vibaraka wake kwa lolote litakalompata Zitto
ReplyDeleteCHADEMA KWISHINEHI. UKIONA MKE NA MME WAMEAMUA KUTOKA BARABARANI NA KUTUKANANA UJUE NDOA HAKUNA. STORY ILIYOANDIKWA NI NZURI KWA WALE MASHABIKI TU LAKINI KWA MWENYE AKILI INA MAPUNGUFU MENGI SANA YANOYOONESHA KUWA IMETUNGWA. SIKU ZOTE UKIWA MUONGO USIWE MSAHAULIFU. KWA MWENYE AKILI ARUDIE KUISOMA KWA MARA YA PILI NA TATU IKIWEZEKANA UTAGUNDUA UDHAIFU WA HIYO STORY. NDANI YA CHADEMA ACHENI CHUKI KUBALINI CHANGAMOTO MNAZOPEWA NA ZITO. KUMPAKA MATOPE MTU MSAFI NI SAWA NA KUJIPA UCHIZI UKIWA NA AKILI TIMAMU.
ReplyDeletemtu yeyote anaweza kubadilika na kusaliti dhamira yake njema ama kwa utashi wake binafsi na tamaa zake, au kwa kulazimishwa na pengine kutishiwa maisha! haya sio mambo mageni na kwamimi siwezi kurupuka kusema hayawezekani..nikiconnect dots za mienendo ya kijana mwenzetu naona kuna walakini mwingi sana.. naishia kuamini yanawezekana kwasababu ndizo mbinu za siku zote tangu upinzani uanze nchi hii CCM wamekuwa wakiutumia kuua nguvu ya upinzani.. angalau kwa Chadema imekuwa ngumu kidogo kiasi cha kufikia kuua raia na kutengeneza kesi za ugaidi wa uwongo... the simplest way walishazoea kupandikiza watu au kuwabadilisha waliomo na kuanzisha mvurugano ndani ya chama.. Kwa maoni yangu hili halitafanikiwa kwa Chadema kwasababu sio chama cha one man army useme ukimvuruga mwenyekiti umevuruga na wengine.. Uongozi wa kanada unafanya kila kanda ijiendehse yenyewe...
ReplyDeleteNoise of Silence, nina maoni tofauti na wewe juu ya muundo wa Chadema. Jinsi ninavyoiona Chadema kuna majina ya watu ndani ya chama chenyewe ambayo kama yakiondoka, Chadema haiwezi kwenda mbele.
DeleteNikianza na Zitto Kabwe, kwa kufanya utafiti wa haraka haraka tu, utagundua vijana wengi wanavutiwa na huyu jamaa kuliko sera za chama chenyewe kwani wengi si wasomaji wazuri. Wanavutiwa na Zitto kwanza kwa kuwa ni kijana mwenzao na pili kwamba anaigalagaza serikali juu ya masuala ya Ufisadi. Kwa vijana wengi, wanaona kwamba maslahi yao yanatetewa vizuri na mbinu hii ya kuweka hadharani, ufisadi na mafisadi. Mfano mzuri, ni pale Chadema wanapopeleka wawakilishi wengine wa chama kwenye mikutano na kukumbana na wakati mgumu ikiwa Zitto aliyetarajiwa akikosekana.
Chama kinatakiwa kijenge mfumo ili kiweze kuishi hata kama Dr. Slaa au Zitto hawatakuwemo Chadema. Hii ndio tofauti kubwa kati ya Chadema na CCM. Kwa hiyo Chadema kwa jinsi kilivyo kichanga, ni sawa na one man Army mzee
Naona maluwe luwe vile lakini kuna nyakati naamini kwamba kuna juhudi kubwa ya kuisambaratisha CHADEMA kama ilivyokuwa kwa NNCR-Mageuzi enzi zake!
ReplyDeleteHatuwajahi kumwamini ZZK haya yote ni marudio pengine mnathibitisha..Zitto anashikwa masikio na CCM amejimaliza nguvu yeye mwenyewe, nadhan ndiye mwanasiasa mwenye kuchukiwa kuliko wote kwa sasa. Anapendwa na ccm tu
ReplyDeleteKaka acha Jazba, jenga hoja.
DeleteUtafiti gani umefanya mpaka useme Zinto anachukiwa? Acha ushamba jenga hoja za msingi na siyo kwa vile wewe unamchukia Zitto basi utulazimishe nasi tumchukie. Zitto anapendwa na ataendelea kupendwa kwa uhodari, uelewa na jitihada zake katika kujenga hoja Mjengoni.
DeleteKuna watu wamesoma kwa umakini wa hali ya juu ripoti hii. Ukiwa na kichwa smart kama changu hutoumiza kichwa. Jibu ni rahisi sana, soma kichwa cha habari cha ripoti, " RIPOTI YA SIRI JUU YA ZITTO KABWE
ReplyDeleteCHADEMA". Kama ni ripoti ya Siri kwa nini ianikwe hadharani, tena kwenye ka blog?
Hawa ndio wanao ogopa kukutana na Zitto uso kwa uso. Wanakimbilia mitaani kulalama, ripoti ya intelijensia ya Chadema? Kweli Chadema inazalilishwa hapa. Hawa kweli ndio Majasusi wa Chama? heeee heeee heeeee
za kupika na za kuchemusha huwa ziko wazi.... time will tell sometime never take things for granted. it takes two to entangle.
ReplyDeleteKwa ninavojua mimi western union ina kiwango cha kutuma lakini si hchi kilichotajwa hapo juu ni uongo,labda kama umekosea ku edit,na je chadema si ina uongozi kwann msiitane maana hli Sakata mnadai ni la muda mrefu,sasa kwann siku zote hzo msiitane na viongozi wenu kumaliza tatizo???na jee kwann Leo ndo mmeamua kuongea Kuna nn kilichowafanya msiongee,tangu 2009.....na je kwann kiongozi wa chama haji kuyasema haya inaishia kuwa vita ya mtandaoni!!!!na kama kweli imethibitika kwann ditto hamumfukuzi???inanipa tabu kuwaamini
ReplyDelete..
am very much disappointed! real politics is a bad game
ReplyDeleteHivi, hamna ya maana?? Watu wanakufa njaa ninyi mnatuwekea vijibendera mezani na kutuambia maujinga yasiyo na kichwa wala miguu ya hawa wa kina acodes eti anakaa mtaa flani na nyumba nyumba flani huko ujerumani.... Ili mi nimfanyeje wakati nauli tu ya kuja hapo dar sina!
ReplyDeleteNilitaraji wewe uniambie zitto umemfungulia mashitaka na hela hizo amezirudisha kama huu ujinga wako una ukweli otherwise hiyo nguvu ya kukopi na kupesti ipeleke kwa wanao uwaongezee ada wahame kayumba kwani la sivyo watapata akili zembe kama yako...
MWISHO WADAU, SIJAWAHI KUSHIKA JAPO 10M ILA NISAIDIE KUA 250M ZINAINGIA KWENYE BRIEFCASE?
hahahahahahahahaaaa!!!! na bado! kaka,mil250 haiwezi kukaa kwenye briefcase,mi do maana japo ccm ime2sahau sn vjn na wananchi wanyonge,lkn ni akher nikiamini hicho kuliko wapumbavu wasioweza kuelewana wao kwa wao,sembuse kwa wenye muono tofauti na wao!!!!!???? Chadema kwisha habari yao.
Deletemkuu nimebeba 10 mil mpya kwenye jeans inawezekana acheni ushamba pesa ya benki 250 brief case kubwa mno
DeleteYa CCM na vyama vingine ongeeni kwenye mitandao, haya ya ZITO mnataka tuwashauri nini? Mmemfikishia ujumbe?? Au Uhuru wa vyombo vya habari, akimshitaki mtu kwa una uthibitisho au mnatumia kivuli cha chama na Siasa. Siasa ni undugu, mtakuja na hoja ya msingi watu watawapuuzia.
ReplyDeleteKama yaliyoandikwa katika report hii ni ya kweli basi nishaelewa kwa nini watu huamua kushiriki kwenye ugaidi. Inabidi tuanze kuuliza taratibu za kujiunga al qaeda au al shabab.
ReplyDeleteAha ha ha, siasa za bongo.ni noma, toka 2008 mpaka leo, mnambembeleza tu huyo zitto.....acheni siasa za maji taka, acheni democracy itake chance,mwacheni agombee uenyekiti sio kutunga hizo story zenu za kuharibiana tu.....zitto na mnyika watabaki kuwa watu wangu hata iweje...
ReplyDeletemnapiga kelele ka vile hamjafika huko juu,mi bado cjaona m2 wa kumwamini bongo hii,wa2 huwa 2naongea sn,lkn ukifika hapo juu na njaa ze2,hakuna mwenye uzalendo wala nini!wote ni walewale 2!!!! ngoja niandae zangu leson notice kwa ajili ya wanafunzi wangu mie!
ReplyDeleteLazima mpike ya Zitto coz si mchaga wala mkristo hizo ndo zenu
ReplyDeletechadema vibaraka wa ugereman na uingereza na ccm ni vibaraka wa amerka wote hawa ni wapuuzi
ReplyDeletewanataka kujaza matumbo yao tu na kutuputezea muda
Mimi nadhani sasa CCM wamefaulu kuimaliza chadema waliyoianzisha wenyewe. Ifikapo 2014 chadema vurugu tupu, hadi 2015 CCM inarudi madarakani tena bila kelele. Ikumbukwe Tanzania haikuwa radhi kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi ingawa kwa upande mwingine wanavipenda kwa kuwa vinaleta mabadiliko. Ili kuhakikisha nchi inafaidika kwa mfumo huu CCM inahakikisha wakati wote kuwa viongozi wa juu wa vyama vya upinzani no wa kwao. Chadema, CUF na NCCR ni CCM-B, C na D. Wengine kama TLP wanaweza kupewa uwakala wakiongezeka nguvu. Hizi ndiyo siasa ndugu zangu,hakuna chama kitakachotawala zaidi ya CCM!
ReplyDeleteKama CDM waliyajua haya yote na bado wakaendelea kumlea huyu mtu basi hamko makini kabisa. Na msipomuondoa huyu lazime tuwasahau kwenye siasa.
ReplyDeleteZitto inabidi awe makini na kutoa matamko yake. Kama habari hii ni ya kweli, jamaa wanaweza kuwa na hata video zake. Lakini kitu cha kushangaza, mbona hajamkana yule mpenzi wake (mjerumani). Japo siiamini habari yote, lakini kuna ukweli furani maake yule mpenzi wake walikuwa pamoja tangu akiwa UDSM
ReplyDeleteSasa Chadema inakwenda kukata shina Yani inatakiwa Chadema ifanyie uchunguzi taarifa hii, na Zito atoe ushirikiano wa kutosha, nina imani Chadema inakwenda kumaliza kazi hii.
ReplyDeleteHa ha ha daa!! hii story mzuri sana hakika majungu hayawezi kwisha Tanzania, kaka Zitto endelea kupiga kazi haya mambo yapo kila siku ni wivu tu umewajaa.
ReplyDeleteSitayari zzk kakanusha? Mimi nadhani kwasasa tungefunga mjadala huu na kuelekea kwenye mambo ya msingi tuache kulumbana bana.
ReplyDeleteWatanzania acheni imani zenu finyu. Mambo ya udini yaondoeni. Zitto ni binadamu kama wengine...kuitwa zuberi hakumanishi chochote. Haya yote yanawezekana...nilazima achunguzwe...achenikutetea maovu kwa visingizio vya majina na makabila...mbuzi ni mbuzi tuuuu.CCM,CHADEMA. Wote niwamoja lakini nivyema kuondoa viongozi wabaya haraka iwezekanavyo.....mungu ibariki Tanzania nawatu wake.JL
ReplyDeleteJamani yote haya yanaletwa na ruzuku ya vyama ambavyo mheshimiwa ameomba vikaguliwe shida iko wapi mpaka mseme zitto anawasaliti?
ReplyDeleteukiwa kama kijana popote ulipo unatakiwa ujiamini kwanza wewe achana na kusema ooh nikimkosoa huyu nitafukuzwa kazi or nikisema hivi nitauwawa you better die for for what you believe is your strength .nakuhakikishia hata hawa mafisadi wasingekuwepo. ukweli uko pale pale chadema ina element zote ukabila kwa nini chama kiwe dominated na watu wa kaskazin sana tena wanajifanya wao ndio miungu watu kweny chama kama wew unajiamin ni mtu imara for sure you cant survive in chadema sababu am sure unaweza ukadhani mapinduzi ya kweli yanaenda patikana kule halafu unakutana na vikwazo
jamani haki itendeke bila upendeleo. tunahitaji mabadiliko ya kweli. peoples the power
ReplyDeleteuko wapi uadilifu mbele ya wananchi?vile viapo vya kuwa waamninifu baada ya kuchaguliwa na wananchi ni kwa ajili ya kuwafurahisha kwa siku moja?
ReplyDeletemtu yeyote wewe au mimi ningeonyeshwa hizo pesa si rahisi kuzikataa,ufisadi,rushwa vyote vinaongozwa na tamaa,unaweza kujiuliza mbona huyu kipato chake ni kikubwa kwa nini anaingiwa na tamaa,kwanini hatutosheki na kuridhika na tulichonacho ambacho kitatupa amani ya kudumu ambayo ni afya kwa miili yetu?kitu pekee cha kuyashinda yote haya ni HOFU YA MUNGU ktk kusimamia uadilifu wetu
Kamanga mnamtaka mchukueni na CHADEMA ITABAKI KUWA CHADEMA MILELE SO ACHENI UTETEZI KIWENDA MUZIM SHUT P
ReplyDeleteRIPOTI..... OOOVYOOOO!
ReplyDeleteRe-read,re-think nd remember God is one nd TRUTH IS ONE ND UNDIVIDED.
ReplyDeletekweli nimeamini mashabiki wengi wa siasa wanakulupuka tu na hoja bila kufuatilia mambo, wanaomtetea zito wanadhani kwa kufanya hivyo watamsafisha kitu ambacho hawataweza, cha msingi wanatakiwa kuweka utetezi kwa hoja zenye nguvu na ushahidi kama wenzao walivyofanya, kwa mtu makini kama mimi huwezi kusema zito ni msafi bila kujenga hoja na ushahidi wa kutosha
ReplyDeleteEither story ni ya kugushi au ya kweli usihukumu fanya utafiti kwanza, nyie ndiyo humtetea mwizi aliyekutwa darini ndani ya nyumba, watanzania tuna huruka ya ajabu huwa hatutafuti ukweli na kuuelewa bali tumekalia ushabiki tu, ripoti hiyo imeweka bayana taarifa zake ingia kwenye mitandao husika kama un access uthibitishe yaliyo semwa, pia huko ujerumani nenda benki kathibitisheni, hata huko CRDB na NMB kama nitaarifa za kupikwa itajulikana tu we need a thruth, achene ushabiki tu, kama chadema wametudanyanya ukweli utajulikana na watakuwa wamejimaliza na kama ni kweli basi hilo kundi limejimaliza hasa Mr. Zitto, nilimwamini sana lakini binafsi niliaanza kumshtukia tangu 2008 na hasa pale alipochaguliwa kamati ya nishati na madini. wote mnaoshabikia mtu badala ya uzalendo ni ulimbukeni huo. Zitto omba msamaha yaishe la ingia CCM mapema ili 2015 upewe nafasi ya kugombea ubunge, nakumbuka moja ya sera yako ukiwa chuo kuwa ukijiunga na vyama vya upinzani CCM wenyewe watakutafuta na ukweli sasa umeonekana,, kaka pole sanaaaa
ReplyDelete