Social Icons

.

Monday, 22 December 2014

Kilewo: Hutuba ya Rais imeendelea kuonyesha udhaifu wa maamuzi

Hotuba yake ina lack of confidence, integrity and power of authority lakini pia imefungua room ya kujua Kuwa Serikali yake na matajiri pamoja na mafisadi ni damu damu. Mbaya zaidi amejawa uoga kiasi cha kushindwa kujenga mfumo utawala ulio bora na kuhofia mawazo negative ya sinto fahamu kwa wanao mzunguka

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...